Latest Updates

Mabibi na mabwana Wizkid na Drake wanayo furaha kukuletea ‘Ojuelegba’

dreee
Siku chache zilizopita kulikua na taarifa za staa wa Nigeria Wizkid kufanya remix ya ngoma yake ya ‘Ojuelegba’ na staa wa muziki Marekani Drake.
Wawili hao wameungana pamoja na kutuletea collabo ya wimbo huo.
Wasikilize hapa mtu wangu…

0 Response to "Mabibi na mabwana Wizkid na Drake wanayo furaha kukuletea ‘Ojuelegba’ "

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...